wamasai wa ngorongoro

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Zanzibar-ASP

    Wamasai waliohamishiwa Msomera wamuingiza mjini mama, waonekana tena Ngorongoro!

    Katika jambo la kustaajabisha kabisa ni tukio la wamasai waliohamishwa kutoka Ngorongoro na kupelekwa kule Handeni, Tanga eneo la Msomera wameonekana pia Ngorongoro wakati huu wa sakata la wamasai kuungana kudai haki ya kuendelea kuishi Ngorongoro. Tulielezwa kuwa wakati wa zoezi la kuhamia...
  2. U

    Pre GE2025 Lissu ana uhakika wa Kura Milioni 3 za wamasai wenye sifa za kupiga kura

    CHADEMA ikiongozwa na Tundu Lissu imekuwa ikipigania Haki za wafugaji hasa wamasai waliopo mikoa mbalimbali Tanzania, kama. Arusha, Kilimanjaro, Manyara, Tanga, Morogoro, Pwani, Dodoma, Chunya Mbeya. Kutokana na umoja wa wamasai walionao , nadiriki Kusema nimetembelea Vijiji vingi na Kata za...
  3. BLACK MOVEMENT

    Wazo la Mwanzo ilikuwa wamasai wa Ngorongoro wapelekwe Wilaya ya Longido, kwa nini ilibadilishwa na kupelekwa Handeni?

    Kwanza ijulikane wazo la kuwapunguza wamasai wa Tafara ya Ngorongoro na kuwapelekea nje ya Ngorongoro lipo kitambo tangua enzi za JK, Ila hakikuwa na nguvu na msukumo, wakati huo wazo lilio kuwepo ni wapelekwe Longido kwa wamasai wenzao. Eneo lilikuwa lisha patikana. Ila enzi zile ilikuwa...
  4. Crocodiletooth

    Kwa utitiri huu wa watu, je, kweli tuna hifadhi hapa Ngorongoro?

    ° Nimekuwa nikijiuliza, Masai wote hawa ni wakazi wa ngorongoro au wamewaita wenzao kutoka Kenya? ° Kwa wingi huu, je tuna urithi wa kujivunia pale ngorongoro? ° Tuweke siasa pembeni, twende na usalama wa urithi Wetu kwanza! ° Je, baada ya miaka 20 tutakuwa na ngorongoro yetu? -TUTAFAKARI...
  5. Li ngunda ngali

    Tetesi: Umoja wa Ulaya kutoa tamko hivi karibuni lihusulo ukiukwaji wa kutisha wa haki za Wamasai wa Ngorongoro

    Duru ndani ya corridor za Umoja wa Ulaya hapa Nchini hivi karibuni unatarajia kutoa tamko la kusikitishwa na ukiukwaji haki za binadamu wa kutisha wanaofanyiwa Wamasai kule NGORONGORO.
  6. Ojuolegbha

    SI KWELI Tundu Lissu akemea Wamasai wa Ngorongoro kudanganya

    Lissu amewakemea wamasai wa Ngorongoro kudanganya. Asema waache kutumika vibaya. Abainisha ukweli kuhusu manufaa ya kuhama Ngorongoro.
  7. M

    Upofu wa Padri Kitima unahitaji neema ya Mungu

    1. Padri Elipidius Rwegoshora wa Bukoba kashiriki kumuua Albino, Padri Charles Kitima hajamuona ila anaona Wamasai Ngorongoro. 2. Padri Bunda anaibia masista wa raia wa Kihispania kwenda kufungua baa na kamari, ila Padri Charles Kitima haoni kukemea anaona Wamasai Ngorongoro. 3. Padri...
  8. Bams

    Wamasai wa Ngorongoro Wametendewa Uharamia Dhidi ya Utu, Wasaidiwe

    Wote tunatambua kuwa wamasai wa Ngorongoro wamehamishwa toka makazi yao ya asili huko Mkoani Arusha, wakavushwa mkoa wa Kilimanjaro, mpaka kwenda kutupwa mkoani Tanga. Huu ni uharamia mkubwa dhidi ya utu ambao haujawahi kutokea. Mara kadhaa watu wamehamishwa kupisha miradi mbalimbali. Na katika...
Back
Top Bottom