Kama mmiliki wa shule ya sekondari binafsi nchini, nina wasiwasi kuhusu mabadiliko yanayokuja katika mfumo wa elimu, hasa kutokana na kufutwa kwa darasa la saba kuanzia mwaka 2027.
Hii inamaanisha kwamba wanafunzi wa kidato cha kwanza watakuwa wakitoka moja kwa moja kutoka darasa la sita, hali...
Naitwa Jacob Mwansasu ni mmiliki wa partneship iitwayo swebetech it solution tunakuletea product hii kwa ajili ya private school kusaidia uendeshaji wa kidigitali.
Karibuni 0759617533 kwa mazungumzo zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.