wamiliki shule binafsi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. milele amina

    Wamiliki wa shule ya sekondari binafsi nchini, wana wasiwasi kuhusu mabadiliko ya mfumo wa elimu, hasa kutokana na kufutwa kwa darasa saba mwaka 2027

    Kama mmiliki wa shule ya sekondari binafsi nchini, nina wasiwasi kuhusu mabadiliko yanayokuja katika mfumo wa elimu, hasa kutokana na kufutwa kwa darasa la saba kuanzia mwaka 2027. Hii inamaanisha kwamba wanafunzi wa kidato cha kwanza watakuwa wakitoka moja kwa moja kutoka darasa la sita, hali...
  2. Cobtechgiant

    Taaluma App karibu wamiliki wa shule binafsi

    Naitwa Jacob Mwansasu ni mmiliki wa partneship iitwayo swebetech it solution tunakuletea product hii kwa ajili ya private school kusaidia uendeshaji wa kidigitali. Karibuni 0759617533 kwa mazungumzo zaidi
Back
Top Bottom