wana ndoa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    Hivi magereza yetu hayawezi kuboreshwa walau mara 1 kwa wiki wanandoa wakawa wanakutana na wapendwa wao hukohuko gerezani?

    Nimewahi simuliwa na mtoto wa mama mdogo aliyewahi kufungwa jela. Aliniambia yote yanayofanyika kule ufirauni na ubabe na kila kadhia aliyokutana nayo tangu day one hadi anatoka kule. Huenda unajua kabisa kuna baadhi ya jamaa zetu wako kule wamefungwa isivyo halali either kwa kusingiziwa nk na...
  2. Mkalukungone mwamba

    Kutana na wapenzi wawili wasioona na wakifanya kazi ya ushonaji

    Duniani kila mtu anapata wa kufanana naye na huu msemo kwangu mimi naendelea kuushikiria vizuri sana. Sasa leo tujifunze kitu kupitia simulizi nzuri sana ya wanandoa hawa wawili ambao wote ni vipofu lakini wameonyeshana upendo wa kweli na kazi wanayoifanya inafanan na wanafanya kwa juhudi zote...
  3. Mjanja M1

    Kisanga cha wana ndoa na uzazi

    Anahitaji ushauri, soma kisa chake hapo 👇 My wife is pregnant with another man's baby and now she wants to leave me. For some background, I got married years ago and my wife and I were happy but issues started when several years passed and she was unable to get pregnant. We tried all we could...
  4. Shining Light

    Unyanyasaji ndani ya nyumba za wanandoa

    Ugomvi ndani ya nyumba ya wanandoa huchukuliwa kama ni jambo la kawaida, Inasikitisha kusikia kwamba ukatili huu unachukuliwa kama jambo la kawaida katika jamii yetu. Watoto huona huu unyanyasaji na kuhishi pia ni jambo la kawaida mpaka wanapo kuwa na kupata ufahamu zaidi na hapo ndio kujua baba...
  5. GENTAMYCINE

    Usithubutu kutatua Ugomvi wa wanandoa au Wapenzi kwani utakuja kujuta na kuumbuka baadae

    Kuanzia sasa (leo) GENTAMYCINE natangaza rasmi nikikuta ama Wanandoa au Wapenzi (ninaowajua) wanagombana hadharani tena huku Wameshikiana Silaha za HATARI nitakachokifanya ni Kuwasakizia zaidi ama Waumizane au hata Wasitishiane rasmi Pumzi zao na siyo Kuwaokoa na Kuwatatua. Sijui kwanini Wema...
  6. L

    SoC02 Ndoa siyo Ndoano

    Ndoa ndoano ni msemo wa muda mrefu sana ukimaanisha kuwa wawili waingiapo kwenye ndoa hawawezi kuachana na wanapaswa kuvumiliana katika hali zote za shida na raha.Ni kama wavuvi wanavyovua Samaki na ndoano. Samaki akinasa kwenye ndoano basi hawezi kuchomoka.Dini zetu pia zinatuongoza kuwa wawili...
  7. Kifaru86

    Wana ndoa wengi siku hizi wanaishi kama maadui. Tatizo ni nini?

    Japo sio wote ila wana ndoa wengi siku hizi wanaishi kama maadui tatizo ni nini lakini yaani. Kuna watu wapo ndani ya ndoa lakini wakiwa ndani hawaongeleshani Kuna watu wapo ndani ya ndoa kila siku ugomvi vikao vya kifamilia vya usuluhishi haviiishi. Kuna watu wapo ndani ya ndoa wanaona bora...
  8. karv

    Faida za kufanya tendo la ndoa (kujamiiana) kwa wanandoa

    Faida za kujamiiana 1.Kuwa na mpenzi ambaye ni rafiki yako ni jambo zuri sana katika mahusiano. Kuwa katika mahusiano pasipo kufanya mapenzi na mwenza wako ni kama tu kuwa na rafiki yako. Mahusiano hujawa na uchu, wapenzi hutaka furaha na kuridhika. hivyo kufanya mapenzi na mwenza wako...
Back
Top Bottom