Confucius (551-479 KK)
Confucius ni mwanafalsafa maarufu zaidi wa kichina. Confucius (551 - 479 KK) alikuwa mwanafalsafa na mwanasiasa wa kichina katika kipindi cha masika na kipindi cha mapukutiko ambaye kwa kawaida anachukuliwa kama mfano wa hekima ya kichina. Mafundisho na falsafa ya...