wanafunzi kubaguliwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkoba wa Mama

    DART watenge mabasi maalum kwa ajili ya wanafunzi, asubuhi wakati wa kwenda shule na jioni wakati wa kutoka shule

    Wanafunzi wa shule za kutwa jijini Dar es salaam wanakumbana na changamoto kubwa sana ya usafiri, hii inapunguza morali ya watoto kupenda shule, pia ni moja ya sababu ya matokeo mabaya kitaaluma yanayochangiwa na kuchelewa vipindi, kuchoka sana na hivyo kupunguza umakini wakati wa vipindi na pia...
  2. Gulugujatza

    Mabasi ya mwendokasi yawe suluhisho kwa wanafunzi mikoani

    Habari za Asubuhi mlio hai na kupata uzima wenye Nuru na baraka kutoka kwa Mungu Mwenye mamlaka ya dunia hii. Leo Asubuhi Wakati naelekea kwenye mazoezi ya kuweka mwili fiti kidogo nilibahatika kupitia kwenye Barabara kubwa yenye mengi magari hapa mkoani kwangu,kubwa zaidi lilonifanya nifike...
  3. Mpwayungu Village

    KERO Utaratibu wa wanafunzi kwenda shule hadi Jumapili udhibitiwe

    Watoto mnawalazimisha kwenda mpaka Jumapili wasipokuja mnawachapa. Jumamosi na Jumapili watoto wanaenda ibadani nyinyi mnawaza kufundisha tuu sijui akili zenu zikoje. Tafuteni kazi nyingine nje ya ualimu mnatia aibu mpaka nafasi za kuandikisha daftari la kudumu la wapiga kura mpoo. Mnafosi...
  4. A

    DOKEZO Wanafunzi wa Stashahada ya Utabibu wanabaguliwa Hospitali ya Rufaa Dodoma

    Wanafunzi wa Diploma ya Utabibu wanafukuzwa wodini bila sababu ya msingi na kubaguliwa katika hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Dodoma.
Back
Top Bottom