wanafunzi kufia kwenye pipa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Wanafunzi wawili wafariki kwa kukosa hewa wakitoa maharage kwenye pipa

    Wanafunzi wawili wa Shule ya Sekondari Kisomachi, iliyopo Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro, wamefariki dunia baada ya kudaiwa kukosa hewa, wakati walipoingia kwenye tenki la kuhifadhia maharage. Akizungumza Mwenyekiti wa Kijiji cha Kileuwo wilayani hapa, Godfrey Mrema amesema tukio hilo...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…