wanafunzi vyuo vikuu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Action and Reaction

    Asilimia kubwa ya wanafunzi vyuo vikuu wamekosa mikopo, hasa vyuo vya private; wapo nyumbani

    Ndugu watz baada kufanya utafiti wa muda mfupi, vyuo vikuu vingi hapa Tanzania wanafunzi wa first year wamekosa mikopo hivyo wanasuasua kureport vyuoni. Sijajua wizara inalengo gani na swala hili maana vyuo vingi wanafunzi hawajareport! Wizara shughulikieni haraka ili wadogo zetu wakasome.
  2. Erythrocyte

    Viongozi wa Serikali za Wanafunzi Vyuoni waomba walipwe mishahara na Serikali, Kama Wafanyakazi wengine

    My take. Hii ndio Habari mpya kwa siku ya leo, kwamba vijana hao wamependekeza awanafunzi wenzao wanaochaguliwa kuwa Viongozi wa Serikali za Wanafunzi wawe wanalipwa mishahara na serikali, (Yaani Wale Marais wa vyuo na mawaziri wao) ========= Viongozi wa Serikali ya Wanafunzi kwenye vyuo vya...
  3. B

    Barrick yadhamini kongamano la wanafunzi kuwajengea uwezo wakujiamini na kuhimili ushindani wa ajira na kujiajiri vyuo vikuu vya Iringa na Dodoma

    Mratibu wa mafunzo (Supervisor Learning and Development wa Barrick Tanzania,Elly shimbi akiongea na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma wakati wa kongamano lakuwajengea uwezo wakujiamini na kuhimili ushindani wa ajira na kujiajiri lililoandaliwa na taasisi ya AIESEC Tanzania lililofanyika katika...
  4. R

    Kwanini viongozi waliothibitika kuiba fedha za umma hawawajibishwi zikarudishwa elimu ya juu nchini ikawa bure?

    Wahitimu waliomaliza elimu ya juu kwa kupata mkopo kutoka bodi ya mikopo kutwa wanabanwa kurudisha mikopo hiyo wakati wengi wao wanahangaika mtaani bila ajira wala shughuli za kufanya. Wakati ukiangalia upande mwingine kuna ubadhirifu mkubwa unafanywa serikalini, viongozi wanaiba mabilioni kwa...
Back
Top Bottom