Wanafunzi wajawazito, Shule ya Msingi 1400, Sekondari 7000. Naibu Waziri wa Elimu Bungeni leo. Kati ya hao, waliorudi kuendelea na shule ni wanafunzi 1000 pekee. Mikakati kukomesha mimba. Shule 26 za bweni zitajengwa kwa awamu ili wasichana wasome bweni.
Hostel zitaanzishwa maeneo ambayo...