Wanajeshi zaidi ya 8 wa Israel wameuawa na wengine 20 kujeruhiwa baada ya ambush ya kushutukiza ya wapiganaji wa hizbullah wakati wa jaribio la wanajeshi hao kuingia kwenye kijiji cha mpakani cha Odaisseh nchini Lebanon ,wanajeshi wa Israel walirazimika kurudi nyuma baada ya shambulizi hilo...
Najua Watanzania Hatuna habari na bajeti ila tuko busy kuwafuatilia Dr Yahaya, Masoud Kipanya na Mwijaku
Niwape tu taarifa kwamba askari 8 wa Israel wameuawa huko Rafah Leo kwa mujibu wa Al jazeera news
Tuzidi kuwaombea
Mlale Unono
---
Hamas says it carried out ‘a complex ambush against enemy...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.