Zaidi ya wanamichezo 100 walioshinda medali kwenye mashindano ya Olimpiki yaliyofanyika Paris nchini Ufaransa mwaka 2024 wamelazimika kuzirudisha medali hizo kwenye kamati ya maandalizi ya Olimpiki kutokana na kupata kutu au kuharibika kwa namna nyingine.
Baadhi ya wanamichezo waligundua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.