Salaam ndugu zangu,
Aisee kumekuwa na tabia ya viongozi wa Mitaa mbalimbali kugeuza shida za Wananchi kama miradi yao ya kujipatia pesa.
Mpaka sasa kwa hapa Dar es Salaam nimeishi mitaa mitatu na nimefanikiwa kufika Ofisi za Serikali za Mitaa kwa ajili ya kupata barua ya Utambulisho.
Cha...