Nimesikitishwa na jinsi maiti zilivyokutwa kwa mganga wa kienyeji kule Singida.
Hii ni moja ya matokeo ya tamaa kali za mali hasa kwa vijana wa siku hizi wakisukumwa kauli mbiu za kipumbavu zinazoongozwa na visichana na wanawake wasiojielewa.
Tamaa hii kali ya mali na utajiri vimewasukuma...
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe akizungumza na waandishi wa habari makao makuu ya CHADEMA Mikocheni amesema
Kwa mwaka huu (2024) na sehemu ya mwaka jana (2023), wako Watanzania zaidi ya 200 katika ukanda huu na nje ya ukanda huu, ndani ya kanda hii ya Pwani, ya Dar es Salaam na nje ya...
Unaweza kuta mtu umetekwa kwa amani kabisa, wamekupiga wamekung'oa kucha zako vizuri
Umepambana mwenyewe, umeokotwa baadae ukiwa katika hali yako mbaya vizuri kabisa
Siasa zinaanzia hapo, watu wataanza kugombana ili kubeba credits, mara nani kakuokota, nani kakusalimia wa kwanza, nani sijui...
Wakuu uwepo wa Mungu upo juu yenu
Kwenye mada moja kwa moja wakuu
Naomba kuweka hili jambo wazi, rafiki yako ni wewe mwenyewe, ongeza na wazazi wako basi.
Unaweza kuwa na rafiki wa karibu wakakutenda, unaweza kuwa na ndugu wa karibu aka kutenda ila wewe mwenyewe huwezi ukajitenda, baba yako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.