wananchi na polisi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Simiyu: Baadhi ya Wananchi Busega wadai Askari Polisi waliwaibia na kuwapiga Watu hata ambao hawakushiriki maandamano

    Baadhi ya Wananchi Wakazi wa Kata ya Lamadi, Wilayani Busega wamedai baadhi ya Askari wa Jeshi la Polisi walishiriki kuwapiga na kuwapora fedha Watu wakati wa zoezi la kuwadhibiti Waandamanaji eneo hilo, Agosti 21, 2024. Wamesema hayo Agosti 29, 2024 katika Mkutano wa Hadhara ulioandaliwa na...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…