wananchi ngorongoro

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    LGE2024 Arusha: Mbunge Ole Shangai alivyokumbana na Wananchi Ngorongoro wakimtaka aondoke Kituo cha Kura Endulen

    Wakuu Hapa mori ilipanda Mbunge wa Ngorongoro, Emmanuel Ole Shangai, alikumbana na hali ngumu jana katika kijiji cha Nasipaoriong, eneo la Endulen, karibu na kituo cha Ormekeke. Wananchi walimtaka kuondoka haraka na kumzuia kuingia kwenye kituo cha kupigia kura.
  2. N

    Zaidi ya Wananchi Laki moja Ngorongoro, wadaiwa kupangiwa maeneo ya kupigia kura ambako sio wakazi

    Wananchi zaidi ya Laki moja wadaiwa kukosa haki yao ya msingi ya kupiga kura katika maeneo yao ndani ya Tarafa ya Ngorongoro Wilayani Ngorongoro badala yake inaelezwa kwamba wengine kwa mujibu wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), wamepangiwa kupigia kura Msomera mkoani Tanga licha ya...
Back
Top Bottom