wananchi wakamata

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kenya: Wananchi wenye hasira kali wamkamata trafiki anayedaiwa kutaka kupokea rushwa

    Kwenye video ambayo inasambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii, trafiki mmoja nchini Kenya ameonekana kukamatwa na wananchi wenye hasira kali baada ya kudaiwa kuwa alitaka kupokea rushwa. Video isiyo na tarehe imewaonyesha raia wakimzingira trafiki huyo kwa madai ya kuvunja kioo cha matatu...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…