Japo sio rahisi kusema lkn wapo wanaume wengi sana wanopokea kipigo kutoka Kwa wake zao.
Kwa macho yangu shangazi yangu alikuwa anakung'uta vilivyo mmewe.
Siku akiliazisha Hadi alikuwa anakimbia na kwenda kujificha kabisa.
Kuna mama mwingine alikuwa muuza gongo (pombe) akasikia fununu Kwa...
Wanaume Wilayani Mbulu mkoani Manyara wametakiwa kufunguka na kutumia dawati la Jinsia na Watoto kutoa taarifa pale wanapofanyiwa vitendo vya ukatili wa kijinsia ikiwemo kupigwa na wake zao.
Hayo yamesemwa na Mkuu wa Dawati la Jinsia na Watoto, Naibu Kamishna wa Polisi DCP Maria Nzuki wakati wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.