wanariadha wa tanzania

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. o_2

    Tanzania tunakwama wapi kutengeneza wakina Beatrice Chebet kama ilivyo Kenya?

    Kushinda aje? Baada ya mizunguko yangu ya leo, nimerudi magetoni nawasha Tv supersport 9 nakutana na highlights za mashindano mbalimbali ya olimpiki yanayoendelea nchini Ufaransa katika jiji la Paris. Ghafla nakutana na mdada BEATRICE CHEBET kutoka Kenya. Ameshindana marathon M 5,000 na M...
  2. K

    Mwanariadha Alphonce Simbu amaliza nafasi ya 17 Olimpiki Jijini Paris, Ufaransa

    Leo aubuhi nimefuatilia shindano la Olympic kule Paris la mbio ndefu ya kilomita 42 na mwanariadha Ndugu Simbu akiwa mshiriki toka Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kwa kweli matokeo yake hayakuwa mazuri kwa kushika nambari 17 akitumia saa 2:10: 03 katika mbio hizo. Pole sana. Rudi nyumbani...
  3. U

    Wanariadha wa Tanzania wapo mzigoni leo Olympique

    LEO, saa 3:30 asubuhi sehemu ya wanariadha watakaokimbia katika Olympics wamo Watanzania pia Alphonce Felix Simbu na Gabriel Gerald Geay Mashindano haya Olympic yanaruka mbashara kupitia #ZBC2 #Olympic #Olympicgame #Paris
  4. Hismastersvoice

    Serikali iwapelekee medali wanariadha wetu mahili huko Paris

    Mashindano ya Olimpiki yanaendelea huko Paris huku watalii wetu wakiwa hawajui kilichowapeleka huko kwenye mashindano hayo. Kikosi cha Tanzania ni kikosi duni kuliko vyote kwani ni vigumu kumtambua nani kiongozi na nani mchezaji, wote wanafanana. Serikali iwatoe aibu kwa kuwachongea medali...
Back
Top Bottom