Mimi nikiwa mdau mkubwa wa riadha nimeona niandike huu uzi kupinga comments za kisiasa zinazotolewa na watu mbalimbali kuhusu wanariadha wa Tanzania walioshiriki Olympic Marathon 2024 za Paris.
Comments nyingi ni za kisiasa kutoka kwa watu hata wasiojua utaratibu wa mtu kushirikishi mashindano...