wanasheria wa tanzania

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. comte

    Unafiki wa wanasheria wa Tanzania

    Toka katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iweke ukomo wa mtu kukaa kwenye nafasi ya urais kwa miaka 10 kwa vipindi vya miaka 5, mgombea wa CCM aliye na stahiki ya kugombea mhula wa pili baada ya kumaliza mhula wa kwanza hashindanishwi na wenzake ndani ya chama chake. Ilikuwa hivyo toka kwa...
  2. J

    LGE2024 JamiiForums na StarTV kuwahoji wanasheria kuhusu Hali ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa leo Novemba 23, 2024

    JamiiForums kwa kushirikiana na StarTV itaendesha Mjadala kuhusu Nafasi ya Wanasheria Kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024 Mjadala utaongozwa na Mtangazaji Edwin Odemba (Chief Odemba) akiwa na Wadau wa Masuala ya Sheria wakiwemo Onesmo Olengurumwa...
  3. TODAYS

    Msikie Spika Tulia aikimba ila kwa anavyo onekana, Bora hata ya Ndugai!

    Jua maisha ni mlima eeh,maisha ni mlima, Kuna kupanda na kushuka eeh, Kupanda na kushuka, kuteleza siyo kuanguka eeh, Hiyo hapo juu ni chorus ya wimbo kutoka kwa kinywa cha spika wenu wa bunge, sijui makusudi yake ila kwa anavyo onekana ni tumekosa spika mwenye kujiheshimu hana hadhi kwetu...
  4. K

    Mawakili na wanasheria wanayo nafasi kubwa ya kuboresha utawala bora nchini

    Hawa watu wakifungua kesi nyingi nyingi zinazowahusu polisi, wakuu wa wilaya, mawaziri, wakuu wa mikoa nk zitawaweka busy na zitawapa aibu angalau wataanza kukemea uonevu unaofanywa na watu wao wa chini. Kwa wiki hizi za karibuni nchi imepitia katika heka heka nyingi ambazo ni nyingi zinaumiza...
Back
Top Bottom