wanasiasa wa kenya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mwanasiasa Caren Atieno Muga akamatwa akiwa kwenye harakati za kukimbia kwa kesi ya kuvuna na kuuza viungo vya binadamu

    Kenya nini kinaendelea huko majirani? Caren Atieno Muga, aliyekuwa MCA mteule wa Kaunti ya Kisumu, amekamatwa baada ya kuhusishwa na sakata ya uvunaji na uuzaji wa viungo vya binadamu. Bi. Muga alikamatwa akiwa barabarani katika eneo la Chemelil-Miwani-Kisumu wakati akijaribu kutoroka...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…