wanawake kuolewa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. W

    Wanawake mlio kwenye ndoa waheshimuni waume zenu na ndoa zenu

    Wanawake mliokuwa kwenye ndo muheshimu waume zenu maana wamewapa heshima kubwa ya kuwaoa na kuwaweka ndani, wanawalisha na kuwavisha punguzeni midomo, gubu, dharau, jeuri, na baadhi yenu ku-cheat. Huku nje ngumu jamani wenzenu tunatamani hizo ndoa lakini tunakutana na magumegume tunatamani...
  2. Wanawake tunaolewa na walio tayari kwa ndoa

    Nimegundua ndoa nyingi hazidumu kwa sababu wanawake wengi wameingia kwenye ndoa na wanaume waliokuwa tayari kuwaoa na sio wale wenye mapenzi ya dhati kwao. Inatokea unampenda mwanaume ila hakuoi .anatokea mwingine anatangaza ndoa inabidi ukubali .muda nao haucheleweshi matokeo Ndoa inakuwa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…