Nilikuwa naangalia hii video niliyotumiwa na rafiki ya mmoja.
Kwenye video hii inaonesha tangu mtu anafungwa kwenye sanda mpaka anazikwa.
Nikajiuliza ni kwa nini waislamu wanazuia wanawake kwenda kuzika. Je, ni Muongozo wa dini yao unaotokana na maamrisho ya mwenyezimungu yaliyomo kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.