wanawake wa jamii ya kihadzabe

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone mwamba

    Pre GE2025 Wanawake wa jamii ya kihadzabe: Tunatamani sana kumuona Rais Samia, tumweleze tunavyoishi maisha magumu sana

    Wanawake wa Jamii ya wahadzabe wanaoishi katika eneo la Eyasi wilayani Karatu Mkoani Arusha wamepaza sauti katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani kwa kumuomba Rais Samia Suluhu awasaidie wapate ardhi,maji,chakula na kuzuia uvamizi wa maeneo yao. Katika mdahalo uliofanyika katika Kijiji...
Back
Top Bottom