Habarini,
Unakutana na mdada mwenye mwonekano mzuri, shepu ipo, lakini yuko single, hana mtoto, na yupo kwenye umri wa kuolewa, mpaka unajiuliza huyu amelogwa na her village people, au ana jini mahaba, wanaume hawaoni uzuri wake au? Ila ukipata wasaa wa ku-interact nae kwa karibu zaidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.