Wakuu naomba ufafanuzi hii imekaaje.
Inasemekana kuna wanawake wana baraka na wengine wana nuksi ukitembea nao wanakuachia nuksi zao.
Je, ikiwa mtu kachepuka na mdada mwenye nuksi akirudi nyumban akatembea na mkewe tena je hizo nuksi alizozibeba kwa mchepuko zitampata na mkewe?
Na je hizo...