Maana hao wazaramo na wandengereko halisi walishahama maeneo ya mijini wameenda maeneo ya ndanindani huko hasa maeneo ya mkoa wa pwani.
Jiji limebaki kukaliwa na mchanganyiko wa watu kutoka kona zote za nchi.
Sasa Jiji linapendezeshwa na akina nshomile akina mapikipiki na malori akina mushi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.