Kama yote yaliyofundishwa mashuleni, hasa Shule ya Msingi, huenda haya yasingetokea:
1. Matumizi ya leso
Ni kawaida kwa baadhi ya watu, wanapopenga "kamasi", kutokkutumia leso. Bdala yake, hutumia mikono yao kuziba pua kidogo na kupuliza pia, " pwiii", kupuliza pembeni. Halafu maji maji...