Kumekuwepo na kelele nyingi kuhusu dissapora wa Kinyarwanda waliopo ugenini, kwamba kila Mnyarwanda ambae yupo ugenini au kwenye kambi za wakimbizi ni intarehamwe.
Hizi ni jitihada za makusudi za kuzuia vizazi vya Wanyarwanda waliozaliwa ugenini wasidai haki yao ya kurudi nyumbani.
Nakumbuka...