waraka

Warqah ibn Nawfal ibn Asad ibn Abd-al-Uzza ibn Qusayy Al-Qurashi (Arabic ورقه بن نوفل بن أسد بن عبد العزّى بن قصي القرشي) was the paternal first cousin of Khadija bint Khuwaylid, the first wife of the Islamic prophet Muhammad. He was considered a Christian priest. Warqah presumably died in 610 CE, shortly after Muhammad is said to have received his first revelation.Warqah and Khadija were also the first cousins twice removed of Muhammad: their paternal grandfather Asad ibn Abd-al-Uzza was Muhammad's matrilineal great-great-grandfather. By another reckoning, Warqah was Muhammad's third cousin once removed: Asad ibn Abd-al-Uzza was a grandson of Muhammad's patrilineal great-great-great-grandfather Qusai ibn Kilab. Warqah was the son of a man called Nawfal and his consort—Hind, daughter of Abī Kat̲h̲īr. Warqah was proposed to marry Khadija, but the marriage never took place.Warqah is revered in Islamic tradition for being one of the first hanifs to believe in the prophecy of Muhammad .

View More On Wikipedia.org
  1. Li ngunda ngali

    Lema awaandikia Waraka mzito Mbowe na Lissu. Kuongea hivi karibuni

    Hakika ni Waraka wa kutisha wa Mtume Lema kwa Mbowe na Lissu. Muhimu nilichoelewa mimi, Lema amesema ana muunga mkono Tundu. Jisomee mwenyewe;
  2. G

    Ukisoma waraka wa Chacha Wangwe (rip), Mbowe alighushi majina ya viti maalum uchaguzi wa 2005. Huu ni ushahidi kuwa kwenye COVID-19 kuna mkono wake

    Soma mwenyewe hii sehemu inayopatikana ktk Waraka wa Chacha Wangwe alioutoa wakati anagombea nafasi ya Uenyekiti Chadema Taifa". Soma mwenyewe hapa chini sehemu ya waraka huo: UTEUZI WA WABUNGE WA VITI MAALUM ...."Naamini ukweli wa suala hili hauna mjadala. Kwamba Mhe. MBOWE na wafuasi wake...
  3. M

    Waraka wa Marehemu Chacha Wangwe na Hatma ya Siasa za CHADEMA

    WARAKA WA CHACHA WANGWE. UTANGULIZI. Jumamosi, June 28 mwaka huu wajumbe kadhaa wa Kamati Kuu ya CHADEMA walidai kuwa wamesitisha Umakau Mwenyekiti wangu katika kikao kilichofanyika mjini Dodoma siku hiyo. Kesho yake Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mhe. FREEMAN MBOWE akaitisha mkutano wa...
  4. Raia Fulani

    Waraka kwa mitandao ya simu (Vodacom, yas, airtel, halotel, etc)

    Habari zenu enyi makampuni ya huduma za mawasiliano. Nakuja kwenu kwa lengo la kuwapa wazo la kibiashara ambalo litaweza kuboresha huduma zenu kwa wateja, haswa kwa upande wa intaneti. Changamoto ambayo nyie makampuni mnayo ni urasimu haswa linapokuja suala la mtu mwenye nia ya kufanya kazi na...
  5. Magical power

    Waraka wa wazi kwa Wanaume wote

    1. WADANGAJI hawajawahi kuwa na huruma na pesa zetu hata familia zetu. 2. WADANGAJI hawajawahi kuwa na upendo siku ambazo mifuko haina kitu. 3. WADANGAJI hawawezi kukuletea uji ukiwa hospital au kuja kukujulia hali 4. WADANGAJI hawana huruma na watoto wako atakukwapua kila kitu 5. WADANGAJI...
  6. Aramun

    Makonda: Jakobo alipochinjwa, Kanisa liliomba, halikutoa tamko au waraka.

  7. Prakatatumba abaabaabaa

    Waraka kwa walimu wenzangu

    Huu mwezi kumetokea matukio mengi kwa Walimu na wanafunzi, Walimu wakitoa vipigo vikali sana kwa wanafunzi, wanafunzi wakipokea ngumi chembe kidevu, ngumi za macho, fimbo 50. Sikatai wanafunzi wasipigwe lakini, piga fimbo zako tatu au nne then pita kushoto, sasahivi mitandao imeleta mapinduzi...
  8. Gemini AI

    Mwijaku amwandikia Waraka Mzito Masoud Kipanya, adai anafanya biashara haramu

    Pia Soma: https://www.jamiiforums.com/threads/mwijaku-amuomba-msamaha-masoud-kipanya-baada-ya-kumtuhumu-kuwa-anafanya-biashara-haramu-na-kutukana-viongozi-akiwemo-rais.2223427/
  9. Erythrocyte

    Shule zaandikiwa Barua kutoa takwimu za Idadi ya wanafunzi wa Kiislamu shuleni

    Kabla ya yote natanguliza ombi Maalum, kwamba kama Taarifa hii si ya kweli iondolewe hapa mara moja. Lakini kama ni ya kweli ijadiliwe ili tufahamu malengo yake, yaweza kuwa malengo mazuri tu kama kujua idadi ili kugawa kanzu, Juzuu na mambo mengine mazuri kama udhamini Nk, pia yaweza kuwa na...
  10. Uhakika Bro

    Barua ya Wazi kwa TMDA: Kushughulikia Dawa Zilizoainishwa Kutofaa kwa Matumizi ya Binadamu

    Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) S.L.P 1253 Dodoma / 77150 Dar Es Salaam. Barua pepe: info@tmda.go.tz Tovuti: www.tmda.go.tz Yah: PENDEKEZO LA UTARATIBU WA KUSHUGHULIKA NA DAWA ZISIZOFAA KWA MATUMIZI NCHINI Baadhi ya tafsiri: Dawa zisizofaa kwa matumizi: Ni zile bidhaa...
  11. Mhaya

    Kanisa Katoliki latoa waraka mpya unaiotwa 'Dignitas Infinita' likipinga Utoaji Mimba, Kubadilisha Jinsia na Upandikizaji wa Mimba

    Siku ya leo Kanisa Katoliki kupitia idara ya habari ya Vatican limetoa waraka mpya unaoitwa "Dignitas Infinita" Miongoni mwa mambo yanayozungumziwa kwenye waraka huo Uliosainiwa na Papa ni pamoja na Msimamo wa Kanisa katoliki katika Kupinga Utoaji Mimba, Kubadilisha Jinsia na Upandikizaji wa...
  12. Swahili_Patriot

    Waraka wa Wizara ya Nishati

    Swala hadi linaongelewa kwa msisitizo na kujibiwa kwa hisia ni maneno makali sana, ni dhahiri hii imekuwa changamoto sugu sasa. Hivi wanaosimamia hii Wizara ya Nishati, wanahisi nini wanapoona Wizara yao imeangukia pua nchi nzima? Kweli hii changamoto ipo au imetengenezwa? Hivi hamjiskii aibu...
  13. M

    Papa asema wanaopinga waraka wake wa baraka kwa mashoga ni kikundi cha "watu wachache" hasa waafrika ila polepole wataelewa

    Katika mahojiano yaliyorushwa na gazeti la Italia liitwalo La Stampa, Papa amesema kuwa waraka wake wa kuruhusu baraka kwa mashoga unapingwa zaidi na vikundi vichache vya kiitikadi hasa Waafrika. Papa amesema Waafrika wanapinga hili suala kwa sababu za kiutamaduni Akasema kuwa ukiondoa...
  14. S

    Waraka wa Luhaga Mpina siku ya Mapinduzi Zanzibar waipasua CCM

    Waraka alioutoa Mbunge wa Jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina siku ya Mapinduzi ya Zanzibar Januari 12 2024 umetajwa kuigawa CCM huku wazalendo wakimuunga mkono na wale wa mrengo wa upigaji wakiupinga kwa gharama kubwa. Pia Soma: - Luhaga Mpina: Serikali inaingia Mikataba Mibovu na ya Siri...
  15. T

    Poland na Ukraine waungana na Nchi za Afrika Kupingana na Waraka wa Papa kuhusu Kubariki Ushoga Kanisani

    Baada ya nchi za Malawi, Cameroon, Nigeria na Zambia kupinga waraka wa Papa Francis unaoelekeza kanisa katholiki kubariki ama kuwapa baraka watu wanaojihusishwa na mapenzi ya jinsia moja ama mashoga, sasa nchi za Ulaya Mashariki kama Ukraine na Poland wameupinga huo waraka. Nchi hizo za Ulaya...
  16. sky soldier

    Kabla hatujaanza kuushangaa huu waraka mpya wa Papa Francis tujikumbushe waraka wa mwezi uliopita, kanisa katoliki linaelekea wapi ?

    Waraka huu mpya umewasilishwa bado tukiwa kwenye sintofahamu ya waraka wa mwezi uliopita ulioruhusu maaskofu kubatiza waliobadili jinsia na kuwaruhusu wawe wazazi wa kibatizo bila kutoa msisitizo mkali kwamba suala la kubadili jinsia ni chukizo kwa Mungu. Chanzo cha uhakika cha kupata matamko...
  17. S

    Papa Francis aruhusu Makasisi kuwabariki wanandoa wa jinsia moja

    Ni taarifa ilyotumwa hivi punde,waraka rasmi kutumwa kwa makadinali Dunia nzima,.......tushuhudie vidume wakivalishana mashela kanisani huku nyomi la wakatoliki mashabaab wakipiga vigelegele wanaume wenzao kwenda kupigana miti baada ya kanisa kutoa Sacramento takatifu! --- ROME (AP) — Pope...
  18. DR Mambo Jambo

    Waraka wa Kwanza wa Ukoo wa "WANYONGE" Walioko Tanzania

    1 kwanza kabisa nawasalimu kwa jina la jamuhuri ya muungano Wa Tanzania.Nipo na Christopher Kweka tunawasalimu. 2 Imekuwa ni siku Nyingi sana Tangu kuonana na nyinyi ukoo wangu nikaona si vyema kwakuwa kuna malalamiko nimesikia kati yenu mkizozana kuhusu elimu ya yule na kisomo cha Huyu,Mara...
  19. Mjukuu wa kigogo

    Waraka kwa DED wa Halmashauri ya Mji wa Bunda

    Waraka kwa DED wa Halmashauri ya Mji wa Bunda, Emmanuel Mkongo Heshima yako mkuu! Nitajitahidi kuandika andiko fupi sana!Nakumbuka kwenye vikao vyako vingi huwa unawaencorage sana wana Bunda kupambana zaidi badala ya kukata tamaa! Awali hawakuweza kukuelewa ila Kwa sasa wamekuelewa vizuri...
  20. Webabu

    Wasanii zaidi ya 2000 Uingereza wasaini waraka kuilaani Israel

    Wasanii wa kada zote nchini Uiengereza wanaozidi elfu mbili wamesaini waraka kuonesha kukerwa kwao na ukatili wa Israel kwa wapalestina. Wasanii hao ni pamoja na Tilda Swinton, Steve Coogan, Charles Dance and Maxine Peake.Katika waraka wao huo wamesema wanaitaka Israel isitishe unyama wake mara...
Back
Top Bottom