1. WADANGAJI hawajawahi kuwa na huruma na pesa zetu hata familia zetu.
2. WADANGAJI hawajawahi kuwa na upendo siku ambazo mifuko haina kitu.
3. WADANGAJI hawawezi kukuletea uji ukiwa hospital au kuja kukujulia hali
4. WADANGAJI hawana huruma na watoto wako atakukwapua kila kitu
5. WADANGAJI...