Hakikisha ngozi yako inanukia pesa (imenawiri, na vinyweleo vimesimama na kutoa jasho)
Mwili wako unukie vizuri, sio ile harufu kali ya kutisha
Uwe na biashara yako/ofisi yako inayoeleweka.
Uwe ni mtu wa kuongea maneno machache ila vitendo viwe vingi
Usiwe mtu wa makundi, ishi mwenyewe mwenyewe...