Naseeb Abdul Juma Issack, professionally known as Diamond Platnumz, is a Tanzanian bongo flava recording artist, dancer, philanthropist and businessman. He is the founder and CEO of WCB Wasafi Record Label, Wasafi Bet and Wasafi Media. Diamond has gained a massive following in East and Central Africa. He became the first Africa-based artist to reach 900 million views on YouTube.
After signing a record deal with Universal Music in 2017, Platnumz released his third studio album, A Boy from Tandale (2018).
In 2021, Diamond together with his record label WCB Wasafi entered into a 360 Partnership with Warner Music Group.
Wakuu,
Hawa watu hata matambara ya kudekia hatoshi kuelezea upumbavu huu wanafanya na hizo poda zilizojaa kwenye vichwa vyao, maana matambara yanasaidia kufanya usafi vizuri na kuhakikisha sehemu inakuwa safi kuliko hawa wapuunzi ambao wapo hapo kwaajili ya kula matapishi na chochote...
Licha ya mafanikio yao makubwa katika muziki, wasanii wa Bongo wamekuwa wakipiga hela kupitia biashara na miradi tofauti nje ya muziki:
1. Diamond Platnumz – Mbali na muziki, Diamond amejikita kwenye sekta ya habari akiwa na Wasafi TV na Wasafi FM. Pia, alianzisha lebo ya muziki WCB Wasafi...
alikiba
bongo
diamond platnumz
harmonize
hela
mastaa
muziki
nandy na bilinass
nje
ommy dimpoz
rayvanny
sugu mbeya
wasafi bet
wasafi fm
wasafitv
wcb wasafi
Huyu dogo sijui anafanya hvi kwa bahati mbaya au anafanya makusudi ili auchafue ukristo kwa maslahi ya waliomtuma.
Bahati mbaya sana hata jina lake sijakishika vizuri, sijui imani yake.
Lakini bila kujali imai yake nitumie jukwaa hili kwa niaba ya wakristo kwamba hatupendezwi na namna ambavyo...
Inapotokea mfanyakazi wa taasisi fulani amefanya kosa mbele za umma na akaonywa mbele za umma pia, tunatarajia taasisi anayofanyia kazi kuwajibika, kwanza kwa kukubali kuwa kosa limefanywa, kuomba radhi kwa umma, na kuchukua hatua za kinidhamu kama kanuni za maadili zinavyowaelekeza kulingana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.