Wanabodi,
Hii ni makala ya Kwa Maslahi ya Taifa, kwenye Nipashe ya leo
Utambulisho
Japo mnanitambua kama mwana jf mwenzenu, kwenye mada very serious kama ubatili wa Katiba na ubatili wa sheria, naomba kujitambulisha tena na tena kuwa mimi sio tuu ni member wa jf ambaye ni mwandishi wa habari na...