Habar Wana jamvi,
Wiki iliyopita nilipata wasaa wakutembelea kwetu Kijijini nikiwa kule Kijijini nilipata nafasi yakuzungumza na watu wa makundi mbalimbali, Wazee, Vijana ndugu na marafiki.
Stori iko hivi, kule Kijijini kuna wale Vijana wanaosajili laini za mitandao ya simu kama Vodacom...