wasanii na uchawa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Ommy Dimpoz: Dhambi zote za Rais Samia apewe Tundu Lissu

    Wakuu, Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Omary Nyembo maarufu kama Ommy Dimpoz, amezua utani wa aina yake leo Januari 7, 2025, wakati wa ufunguzi wa hoteli mpya katika Kisiwa cha Bawe, Zanzibar. Dimpoz, amesema itapendeza sana kama "dhambi zote za Rais Samia akipewa Tundu Lissu"
  2. Wakazi: Wasanii hawajitambui. Kujipendekeza na uchawa ndio njia yao ya maokoto

    Wakazi ameandika hivi kweye ukurasa wake wa Instagram: Nimeona watu kwenye Twitter wakichukizwa na wasanii kwa kutosimama na jamii kupigania mambo muhimu, na mnafikiria kuanza kususia bidhaa zao (unsubscribe, unfollow, stop streaming, n.k.). Roma alitoa kauli ambayo hamjaielewa vizuri, na Nay...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…