wasanii tanzania

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Roving Journalist

    TANZIA Aliyekuwa kiongozi wa Mtandao wa Wasanii Tanzania (SHIWATA) Selemani Kissoki afariki, azikwa Dar

    Aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa Mtandao wa Wasanii Tanzania (SHIWATA), Suleiman Kissoki amefariki usiku wa kuamkia leo Novemba 6, 2024 nyumbani kwake Tabata jijini Dar es Salaam. Akizungumzia taarifa hiyo, Katibu Mkuu wa Shiwata, Michael Kagondela alisema hadi jana jioni, marehemu alikuwa...
  2. H

    Ngoma ya "Komasava " ya Diamond imeingia kwenye chart za Billboard

    Msanii maarufu kutoka Tanzania ameweka record ya aina yake ya kuingiza wimbo wake wa Komasava ile original kwenye chart za Billboard kama ingizo jipya kwenye chart za nyimbo 50 zenye kufanya vizuri Duniani. Wimbo huo umekuwa ukifanya vizuri na kupendwa na watu wengi ukiwemo watu maarufu kama...
  3. Yoda

    Wanaoitwa wasanii Tanzania ni kundi lenye mahitaji maalumu?

    Hawa bongo movie na comedians wa bongo kwa nini kwa muda mrefu sasa wamekuwa wakihitaji pesa za walipakodi wa Tanzania ziwahudumie katika mambo yao binafsi?
  4. Lycaon pictus

    Haya waliyofanya wasanii wetu walioenda Korea siyo sawa kabisa

    Tungefanyiwa sisi tungepiga kelele ubaguzi. Hivi si vichekesho, ni kumock culture ya watu. Ustaarabu muhimu.
  5. sinza pazuri

    Diamond Platinum awa gumzo kubwa Paris Fashion Week na vazi lake la pweza

    Hakika mwaka huu Paris Fashion Week imepatwa na gumzo kubwa baada ya kijana wa Tandale, Diamond Platinumz kutinga na vazi lake la pweza. Hii ni moja ya platform kubwa ya fashion duniani na inauzuliwa na watu wenye nguvu kwenye industry ya entertainment. Kudos Diamond kwa kuiwakilisha Africa.
  6. Hance Mtanashati

    Tunda na Ndaro hawaendani hata kidogo, Tunda hajui thamani yake

    Mpaka sasa sijaamini na sitaki kuamini kama mrembo Tunda ana date na Ndaro. Ikiwa kama kweli wana date, basi hii ndio couple mbaya zaidi kuwahi kutokea kwa watu maarufu hapa bongo. Kwangu mimi, hii couple aisee hapana haivutii hata kidogo Ila tusemeni tu ukweli, Tunda hajui thamani ya uzuri...
Back
Top Bottom