Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila kwa niaba ya serikali ya mkoa huo ameanzisha hamasa ya kuanzisha mfuko mahsusi kwa ajili ya wasanii wa 'maigizo' pekee ambapo kwa kuanzia itatolewa milioni 15 kwa ajili ya mfuko huo
Chalamila ameeleza hayo leo, Jumatatu Novemba 04.2024 alipotoa...