Tutaanza na Bob Marley katika kazi iliyotukuka isiyoisha fashion ya no woman no cry (hakuna mwanamke hakuna kilio)
No woman no cry lyrics by bob marley
[Chorus]
No woman, no cry
No woman, no cry
No woman, no cry
No woman, no cry
[Verse 1]
'Cause, 'cause, 'cause
I remember a when-a we used to...
Waungwana heri ya uzima na afya kwenu nyote.
Hapa kila mtu atakuwa shahidi kuwa mwishoni wa mwaka 1999 kurudi nyuma kulikuwa na nyimbo zenye maadiri.
Kwanza unaburudika huku ukipata ujumbe wa kukujenga na maonyo pia kwenye nyimbo hizo hutasikia matusi wala mambo ya ovyo. mashairi yamepangika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.