wasemaji wa timu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. mwarabu feki

    Upi mchango wa Haji Manara kwenye Tasnia ya michezo nchini?

    Nimejaribu kumsikiliza leo kupitia Amplifaya ya Milard Ayo, sijaona cha maana zaidi ya kujisifu tu kwamba ndani ya miaka miwili atamiliki/atanunua klabu ya ligi kuu Tanzania. Pia anadai yeye analipwa pesa nyingi na GSM kuliko baadhi ya wachezaji wakubwa hapa nchini. Nataka kujua huyu mtu ana...
  2. M

    Wasemaji Ibwe, Kamwe na Ahmedy wafungiwe haraka ndiyo walisababisha Taifa Stars ifungwe

    Kufungwa kunauma sana. Ila hawa wasemaji wakamatwe na wafungiwe kwa muda kuzungumzia mpira. Hawa wanamchango mkubwa sana kuharibu national team hasa kwa kupata matokeo mabovu leo. Mfano katika press yao ya kuhamasisha walianza kuleta taharuki kwa kuhusiha mechi ya trh 19. Hii tayari ilipeleka...
  3. OKW BOBAN SUNZU

    Wasemaji Simba, Yanga na Azam punguzeni comed, mnaboa watu wazima

    Uzi unajieleza wenyewe Comed zimekuwa too much kiasi cha kukinaisha. Hatukatai hili soka ni mchezo wa furaha na hamasa, hatukatai moja kati ya jukumu lenu ni kutia hamasa. Lakini kinachoendelea sasa kwa wasemaji hawa ni utoto. Hizo club zinafuatiliwa na watu wengi duniani kote, sasa kuleta...
Back
Top Bottom