Vyombo vya dola, ni taasisi muhimu sana katika nchi. Mkikosea kwenye vyombo vya dola, basi mmetengeneza mateso na maangamizi kwa watu wengi, tena wasio na hatia.
Tanzania, kama kuna chombo cha dola ambacho angalao kina uweledi, ni Jeshi la Wananchi wa Tanzania. Hata kama linaweza kuwa na...