wataalam wa afya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. holoholo

    Sema ugonjwa wowote unaokusumbua wataalamu wa afya watakusaidia

    Humu jukwaani Kuna madaktari,manesi,wakunga, wataalamu wa tiba mbadala,na wabobezi wa masuala ya afya,hivyo Uzi huu ni maalumu kwa wale wote wanasumbuliwa na magonjwa mbalimbali Una ndugu yako ameugua kwa muda mrefu,huoni solution waambie wataalamu wa afya watakusaidia. Kwa upande wangu...
  2. Roving Journalist

    Wataalam wa Afya waingia mtaani kufanya jitihada za kudhibiti magonjwa ya kuhara Mkoani Simiyu

    Timu ya Wataalamu wa Afya ngazi ya Wizara, Mkoa, Wilaya na Shirika la Afya Duniani (WHO) imeingia mtaani na kufanya zoezi la upimaji sampuli za maji katika Visima, Mabwawa na Kaya pamoja na utoaji wa Elimu Wilayani Itilima Mkoani Simiyu. Taarifa ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Simiyu imesema Elimu...
  3. M

    Natoka sana jasho na kidole gumba kinawaka moto

    Wana Jamii Forum nawasalimu sana wote, wakubwa kwa wadogo. Nina shida ya Afya!. Naombeni msaada; Juzi Jumapili iliyopita, mafua yalinianza na kwa kuwa huwa inanishikaga nikadhani kawaida tu lakini cha kushangaza ni kwamba nilianza kukohoa kikohozi kikali japo sio kavu na nilienda Hospital...
  4. Mto Songwe

    Wataalam wa afya, Maiti huanza kuoza baada ya muda gani?

    Wataalam wa afya kwa yoyote mwenye ufahamu kuhusu hili. Maiti huanza kuoza baada ya muda gani kupita na hutumia muda gani kuweza kumalizika yote na kubaki mifupa tu? Note. Kwa maiti zote zilizo achwa wazi na zilizo zikwa ardhini
  5. Lady Whistledown

    Wataalamu wa Afya wapinga wafanyakazi kuchangia NHIF kwa lazima

    Chama cha Madaktari, Wafamasia na Wanasheria wa Meno wa Kenya (KMPDU) kimepinga marekebisho yaliyopendekezwa kwa kanuni za Mfuko wa Bima ya Afya ya Taifa (NHIF) yaliyotangazwa na Rais William Ruto. Hii ni baada ya Rais William Ruto kutangaza siku ya Wafanyakazi kuwa mara baada ya marekebisho...
Back
Top Bottom