wataalamu wa ndani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Edward Mpogolo: Serikali inawajengea uwezo Wataalamu wa ndani, wakiwemo Wabunifu Majengo na Ukadiriaji Majenzi

    Serikali imesema kuwa imeendelea kuwajengea uwezo Wataalamu wa ndani wa kada mbalimbali nchini ikiwemo ya Ubunifu Majengo na Ukadiriaji Majenzi kwa kuwashirikisha kwenye miradi mkubwa kupitia Wizara ya Ujenzi. Akizungumza Oktoba 29, 2024 jijini Dar es Salaam, katika Mkutano wa Tano wa Mwaka wa...
  2. Je, Serikali haina Imani na Wataalamu wa ndani?

    Leo nimesikia kwenye Taarifa ya habari ya E FM radio, 93.7 Dar es salaam. Kuwa Mradi wa Maji uliotolewa na World bank, Mkandarasi ni Mchina. Juzi nikiwa maeneo ya madale niliona wachina wakiwa wanasimamia uwekaji wa mabomba ya maji maeneo hayo. Swali ni kwamba? 1. Serikali haina imani na...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…