Hizi ni kazi ambazo zinaweza sana fanywa tu na Watanzania, ila sasa sijui ni wawekezaji au la, wanatafuta Wakenya, na inaonekana hawataki Watanzania.
Tena analipwa pesa nzuri na nyumba bure na Chakula na matibabu.
Haya yako sana kwenye utalii huko ndio usiseme, unakuta hadi Wahasibu ni...
Umesoma mpaka level ya Diploma ama Degree.
Je, kuna ujuzi/ maarifa gani umejifunza kibinafsi ili ikuwezeshe kupata ajira au biashara yako mpya kesho? Soko la ajira au ulimwengu wa biashara unataka ujuzi au maarifa ya ziada, husiwe na kitu ambacho kila mmoja anacho.
Mara nyingi vitu vya aina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.