Wataalamu wa jadi wapo dunia nzima kila sehemu wapo.
Katika maisha ya binadamu kuna mauza uza mengi sana. Kuna mda binadamu anashindwa kupata hata usingizi kutokona na mambo kuwa tight. Kila mmoja anajua ni jinsi gani anajua kutatua changomoto kama hizi wengine wanamalizia stress na pombe...
Ilikuwa mwaka 2006 majira ya Jumamosi nipo zangu nyuma ya bweni nikishua shuka zangu mbili na sare za shule, pembeni nipo na redio yangu niliyopewa na Babu. Hapo ni kidato cha pili, kidogo swahiba wangu mkubwa sana alikuja mbio na kunipa taarifa kuwa Mwalimu Mkuu ananiita kwake, sio mbali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.