Afrika na watu wake nawajua sana, ukitaja nchi za watu wajanja wenye akili Afrika hauwezi kuicha TZ.
Katika rank mpangilio unaanza na Nigeria, SA halafu TZ inafuatia. Tupo vizuri kiuchumi, entertainment na maeneo mengine mengi nikitaja hapa page hii haitotosha.
Ukitaka utambue ujanja wa...