Eti, mbona lile walisema wee lakini bado tulifanya yetu na hakuna kilichotokea? Achana nao, kwa maana kelele za chura hazimzuii tembo kunywa maji.
Halafu, mbona Magu alipokuwa anamua lake hakuna aliyefurukuta?
Hatukatai, ila tambueni nyakati zinabadilika, vilevile watu wanabadilika. Yaani...