Dstv wanapaswa kutujali wateja wao. Nmelipa king’amuzi mwezi sasa unaisha lakini kila nikiwasha niangalie naambiwa bad weather na jua hili kali la dodoma bad weather inatoka wapi mwezi mzima?
Nimeleta mpaka fundi ananiambia hakuna tatizo channel moja tu ya supersport blitz ndo inaonesha swala...
Mimi ni Mdau mzuri sana wa Movies na Series za Nje Hasa za KIMOMBO" na mpira hayo ndio mambo Yangu.
Nimekua mtumiaji wa DSTv Kwa miaka mingi tu lakini maboresho ya hapa karibuni miaka kama 5 Yanaumiza sana unalipia kifurushi cha COMPACT kwa mfano unakuta wamekujazia machannel ambayo wewe sio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.