Niliwaamini akina Abdi Banda wa Mtibwa Sugar FC, Kelvin Yondan wa Geita Gold FC na huyu Bwege wa juzi Andrew Vicent wangenifanyia vyema hii Kazi yangu Maalum kumbe ndiyo Kwanza wakawa Wanawachekea tu mpaka hata Kuwazawadia Magoli ya Michongo na sasa hatukai kwa Amani hapa Mjini.
Natamani mno...
Bila Kujari Matokeo...!
Kipute ni Kati Ya KMKM na Dar Young Africa, hii ni friend Match...!
Maofisa Wa Yanga Wakiongozwa na Injinia Hersi na Senzo Wameonekana Wametinga Ule Uzi ulioweka Rekodi Ya Kuwa Uzi wenye Mkataba Mfupi sana Kuwahi kutokea Duniani.
Mkataba ulidumu Kwa muda Wa Siku 7 tu...
Mnapokuwa kazini hasa kada au ofisi moja sometimes mnajisahau na kujiona kama ni kitu kimoja kwa 100%.
Unapomtembelea mwenzako unaweza kuamkwa na akili utakapoona ana nyumba nzuri zaidi, ana projects ambazo hata kibarua kikiisha au akiamua kuacha kazi hawezi kuyumba.
Pia, ukimkuta amelala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.