Tunapoelekea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, kumekuwa na ripoti za kuenguliwa kwa wagombea, hususan wa upinzani, na wanaotekeleza hayo ni ninyi watendaji wa mitaa. Naomba kuwaasa ndugu zangu, epukaneni na mtego huu.
Kumbukeni kuwa wale wanaowaagiza mfanye hivyo wana ulinzi masaa 24...