Tanzania kwa sasa hakuna wa andishi wa habari kuna watoa habari zamani wanaojiita wa andishi wa habari walikua wana andika habari lakini kwa sasa wamekua watoa habari
Sasa hivi hawaandiki tena changamoto za wananchi kama zamani wakiona sehemu kuna changa moto labda wananchi hawapati maji au...